Habari za Punde

Rasimu ya katiba ilipokabidhiwa


 Baadhi ya wazee mashuhuri katika hafla hiyo akiwemo Mzee wetu Hassan Nassor Moyo nae alishuhudia tukio hilo. 

 Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa na mabalozi

 Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutoka Kushoto ni Mhe  Mohammed Aboud,Mhe  Juma Duni na  Mhe Said Mbarouk

 Mawaziri wa Bara na Zanzibar

 Sehemu ya mawaziri wa bara na wa Zanzibar

 Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kushoto no Simai Mohammed na kulia ni Ally Saleh

1 comment:

  1. Nyuso za furaha kwa viongozi wa watanganyika. Nyuso za huzuni kwa viongozi we Zanzibar.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.