AFISA Mdhamini Wizara ya Mifugo na Uvuvi Pemba nd: Mayasa Hamad Ali , akimkabidhi
funguo za baiskeli nd: Sheha Omar Bakar aliekuwa mfanyakazi wa wizara hiyo,
ambapo pamoja na wafanyakazi wengine juzi waliagwa rasmi na uongozi wa wizara
hiyo (picha na Asha Salim, Pemba)
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment