Habari za Punde

Wanafunzi Kengeja wakabidhiwa zawadi

 
OFISA Mdhamini afisi ya makamu wa pili wa rais Pemba, Amran Massoud Amran, akimkabidhi mmoja kati ya wanafunzi wa skuli ya sekondari ya Kengeja wilaya ya mkoani, sare na fedha taslimu kama zawadi zilizotolewa na mzaliwa wa kijiji hicho dk, Omar Dadi Shajak, kwenye hafla iliofanyika skulini hapo, ambapo wanafunzi hao ni wale waliofaulu mitihani yao ya darasa la saba na darasa la kumi na tatu mwaka 2013/2014 (picha na Haji Nassor, Pemba)


MWENYEKITI wa skuli ya sekondari ya Kengeja wilaya ya mkoani Pemba, Hassan Abdalla akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi zawadi za sare na fedha kwa wanafunzi waliofaulu ngazi na michepuo na darasa na kumi na tatu mwaka 2013/2014, zilizotolewa na mzaliwa na Kengeja dk Omar Dadi Shajak, katikati ni mjumbe wa kamati hiyo Said Khalifan Amour akifutiwa na Ofisa mdhamini afisi ya makamu wa pili wa rais Pemba Amran Massoud Amran (picha na Haji Nassor, Pemba)    

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.