Habari za Punde

Mikoko yatumika kuzuia uharibifu wa mazingira Pemba


 
 

 
MSAIDIZI katibu wa Jumuiya ya Maendeleo ya Wanawake wa Tundauwa(JUMWATU) Wilaya ya Chake Chake Pemba, Shaib Haji Zubeir akikagua eneo wanalotaka kujenga tuta la kuzuwia maji Chumvi, ili yasiende kuharibu mashamba ya wakulima wa Mpunga, licha ya kuwa tayari wameshapanda mikoko Elfu 17000.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

KATIBU wa kikundi cha Mabadiliko Coparative Society Othman Omar Haji, kinachojishuhulisha na upandaji wa Mkoko huko Mtambwe Nyali, akiwaonyesha waandishi wa habari ambao hapo pichani ukubwa wa eneo walilopanda miti hiyo kwa ajili ya kuhifadhi mazingira.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.