Habari za Punde

Waziri Aboud akiendelea na ziara nchini Dubai


Waheshimiwa Janet Mbene na Mohammed Aboud, leo wameendelea na ziara yao ya kikazi Dubai. Katika kikao cha leo, ujumbe huu pamoja na mwenyeji wao Mhe. Omar Mjenga, wamefanya mazungumzo ya biashara na Rais Mstaafu wa Comoro Mzee Sambi.
Pichani ni mazungumzo hayo yakiendelea.


Mawaziri Mohamed Aboud na Janet Mbene wakiwa katika picha ya pamoja na Rais mstaafu wa visiwa vya Comoro (katikati) pamoja na wenyeji wao

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.