WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma Mh.Haroun Ali
Suleiman akizungumza na mwekezaji wa Kampuni ya Mashirikiano ya Kimaendeleo
(CAAA) Nicolas Sarry wa Switzerland ambayo inajenga Chuo cha Mafunzo ya Utalii
kwa Vijana wa Wilaya ya Kusini Unguja,chuo hicho kinachojengwa Kigaeni
Makunguchi kinatarajiwa kugharimu dola za kimarekani karibu laki nne zinazotorajiwa kumalizia ujenzi huo.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment