WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma Mh.Haroun Ali
Suleiman akizungumza na mwekezaji wa Kampuni ya Mashirikiano ya Kimaendeleo
(CAAA) Nicolas Sarry wa Switzerland ambayo inajenga Chuo cha Mafunzo ya Utalii
kwa Vijana wa Wilaya ya Kusini Unguja,chuo hicho kinachojengwa Kigaeni
Makunguchi kinatarajiwa kugharimu dola za kimarekani karibu laki nne zinazotorajiwa kumalizia ujenzi huo.
Kitaifa : Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akutana na waziri Mkuu Mstaafu
Kassim Majaliwa
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim
Majaliwa nyumbani kwake Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi.
Mheshimiwa Dkt. Mwigu...
8 hours ago
0 Comments