WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma Mh.Haroun Ali
Suleiman akizungumza na mwekezaji wa Kampuni ya Mashirikiano ya Kimaendeleo
(CAAA) Nicolas Sarry wa Switzerland ambayo inajenga Chuo cha Mafunzo ya Utalii
kwa Vijana wa Wilaya ya Kusini Unguja,chuo hicho kinachojengwa Kigaeni
Makunguchi kinatarajiwa kugharimu dola za kimarekani karibu laki nne zinazotorajiwa kumalizia ujenzi huo.
Utiaji wa Saini Mikataba ya Kiutendaji (Performance Contract) Baina Msajili
wa Hazina Zanzibar na Wenyeviti wa Bodi za Mashirika ya Umma Zanzibar
-
Msajili wa Hazina Zanzibar Waheed Ibrahim Sanya akizungumza na kutowa
maelezo wakati wa Utiaji wa Saini Mikataba ya Kiutendaji(PERFORMANCE
CONTRACT)Baina...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment