WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma Mh.Haroun Ali
Suleiman akizungumza na mwekezaji wa Kampuni ya Mashirikiano ya Kimaendeleo
(CAAA) Nicolas Sarry wa Switzerland ambayo inajenga Chuo cha Mafunzo ya Utalii
kwa Vijana wa Wilaya ya Kusini Unguja,chuo hicho kinachojengwa Kigaeni
Makunguchi kinatarajiwa kugharimu dola za kimarekani karibu laki nne zinazotorajiwa kumalizia ujenzi huo.
PPRA Yawahimiza Watanzania Kujisajili NEST Kushiriki Zabuni za Serikali
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewataka Watanzania
kujisajili katika mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NEST ili waweze
kunufaika na fu...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment