UWEPO wa Meli ya MV Serengeti katika bandari ya
Mkoani Kisiwani Pemba, imekuwa ni faraja kubwa kwa wachukuzi wa mizigo katika
bandari hiyo, pichani wachukuzi wakiteremsha mchele kutoka katika meli hiyo na
kupakia katika gari la Munawar katika bandari ya Mkoani kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KINANA AHIMIZA VIONGOZI WA DINI KUWAJENGA WAUMINI KUHESHIMU IMANI ZA WENGINE
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema
ni jukumu la viongozi wa dini kuwaunganisha Watanzania,
kudumisha amani, umoja na...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment