UWEPO wa Meli ya MV Serengeti katika bandari ya
Mkoani Kisiwani Pemba, imekuwa ni faraja kubwa kwa wachukuzi wa mizigo katika
bandari hiyo, pichani wachukuzi wakiteremsha mchele kutoka katika meli hiyo na
kupakia katika gari la Munawar katika bandari ya Mkoani kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MAREHEMU JENISTA MHAGAMA ALIKUWA KIONGOZI JASIRI,MWAMINIFU NA MLEZI WA
VIONGOZI WA WENGI - RASI DKT SAMIA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo
ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga
mwi...
2 hours ago
0 Comments