UWEPO wa Meli ya MV Serengeti katika bandari ya
Mkoani Kisiwani Pemba, imekuwa ni faraja kubwa kwa wachukuzi wa mizigo katika
bandari hiyo, pichani wachukuzi wakiteremsha mchele kutoka katika meli hiyo na
kupakia katika gari la Munawar katika bandari ya Mkoani kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Wafanyakazi Watakiwa Kufanya Kazi kwa Bidii na Nidhamu
-
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji Mhe. Shariff Ali
Shariff ametoa wito kwa wananchi na wafanyakazi wote kushiriki kikamilifu
katik...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment