UWEPO wa Meli ya MV Serengeti katika bandari ya
Mkoani Kisiwani Pemba, imekuwa ni faraja kubwa kwa wachukuzi wa mizigo katika
bandari hiyo, pichani wachukuzi wakiteremsha mchele kutoka katika meli hiyo na
kupakia katika gari la Munawar katika bandari ya Mkoani kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
SERIKALI YATOA BILIONI 16 KUFANYA MABORESHO MAKUBWA YA KUSAMBAZA UMEME
KITUO CHA KIBETA -BUKOBA
-
Na Diana Byera,Bukoba.
SERIKALI imetoa Sh. 16 kwa ajili ya kufanya maboresho ya upanuzi na njia za
kusambaza umeme kwenye kituo cha kupokea,kupoza na kusa...
8 minutes ago
0 Comments