UWEPO wa Meli ya MV Serengeti katika bandari ya
Mkoani Kisiwani Pemba, imekuwa ni faraja kubwa kwa wachukuzi wa mizigo katika
bandari hiyo, pichani wachukuzi wakiteremsha mchele kutoka katika meli hiyo na
kupakia katika gari la Munawar katika bandari ya Mkoani kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yaridhishwa na Maandalizi ya Uchaguzi Pemba
-
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imefanya ziara kisiwani Pemba kukagua
maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 katika Afisi za Tume ya Uchaguzi
za...
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment