Biashara ya Matunda ya Tikiti Zanzibar kimekuwa kikubwa kutoka na matunda hayo kulimwa kwa wingi katika maeneo mbali ya Unguja na Pemba na kufanya matunda hayo kupatikana kwa wingi na bei yake kuwa nzuri tikiti moja linauzwa kati ya shilingi 1000/= na 4000/= inategemea ukubwa wake na ubora.
MIAKA 25 YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA IMEBORESHA UTUMISHI WA UMMA
NCHINI – MWAIPAYA
-
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya, aliyemwakilisha Mkuu wa
Mkoa wa Mtwara, amesema hayo wakati wa hafla ya kuhitimisha mbio za
Utumishi M...
11 minutes ago
0 Comments