BIBI Mariya Ali
Nassor akizungumza na Mwandishi wa habari wa kujitegemea kisiwani Pemba Omar
Hassa, kufuatia nyumba yake kuangukiwa na tawi la muwemba, wakati ulipokuwa
ukingolewa kwa ajili ya upitishaji wa barabara ya Ole-kengeja.
WAJUMBE wa Bodi ya
Mfuko wa Barabara Zanzibar wakijadiliana mambo mara baada ya kukagua vibanda
vya wafanya biasha wa Ole Kianga, ambavyo vinavyotakiwa kulipwa ili kupisha
ujenzi wa barabara ya Ole-Kengeja kisiwani Pemba
WAJUMBE wa Bodi ya Mfuko wa Barabara Zanzibar wakijadiliana
mambo mara baada ya kukagua vibanda vya wafanya biasha wa Ole Kianga, ambavyo
vinavyotakiwa kulipwa ili kupisha ujenzi wa barabara ya Ole-Kengeja kisiwani
Pemba.
WAJUMBE wa Bodi ya
Mfuko wa Barabara Zanzibar wakikagua ujenzi wa barabara Chake-konde kuanzia
melitano hadi Chwale inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya Rock Tronic
LTD, hatua iliyofikiwa ya barabara hiyo
(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment