Moto mkubwa unaendelea kuwaka mitaa ya Kiponda mjini Unguja jirani na msikiti wa Shia Ithnasheria. Jitihada za kuuzima moto huu zinaendelea ila jitihada za ziada zinahitajika za msaada wa magari ya maji baada ya Magari ya zimamoto kuishiwa na maji na kwenda kuyafuata wakati wakijaribu kuuzima moto huo.
Mashujaa wa GGM Kili Challenge 2025 wapongezwa kwa mchango wao katika
mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI
-
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu, ameisifu na kuipongeza
kampeni ya Kili Challenge, ambayo ni ubia kati ya Geita Gold Mining Limited
(GGML) na...
22 minutes ago
Hii habari mbona hatujapata update zozote? Au ndo umeme haujarudi bado?
ReplyDelete