Habari za Punde

Matukio ya Picha Mitaani Kisiwani Pemba

VIJANA mbali mbali wamekuwa wakiitikia wito wa Serikali wa kuwataka kujiajiri wenyewe, Pichani vijana waliojikusanya pamoja na kuamua kutengeneza viti vya masofa katika eneo la Machomanne Pemba

Mbunge wa Jimbo la Chake Chake Yussuf Kaiza Makame akikabidhi bati 85 zenye thamani ya shilingi Milioni 1,190,000/= kwa viongozi wa madrasa ya wazee ya Madungu Kosovo Wilaya ya Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.