Habari za Punde

Wilaya ya Chakechake Pemba Wazindua Baraza la Vijana. Ikiwa ni Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani.

 Katibu Tawala Wilaya ya Chake Chake Ndg. Abdalla Rashid Ali akizungumza na Vijana wa Wilaya ya Chake Chake, mara baada ya kuzindua Baraza la Vijana la Wilaya hiyo, huko katika skuli ya maandalizi madungu katika shamra shamra za kuelekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani.
Baadhi Vijana ambao ni Wanachama wa Baraza la Vijana la Wilaya ya Chake Chake Pemba, wakimsikiliza Katibu Tawala wa Wilaya ya Chakechake Pemba katika hafla ya Uzinduzi wa Baraza la Vijana, uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa skuli ya maandalizi madungu Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.