Wapenzi wa Timu Idumu wakishangilia timu yao wakati wa Mchezo wao wa Ligi ya Sita Bora Daraja la Kwanza Taifa kuwania kupanda daraja kushiriki Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan Timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
7 hours ago
0 Comments