Habari za Punde

Ligi ya Sita Bora Daraja la Kwanza Taifa Kati ya Mundu na Idumu Timu Hizo Zimetoka Sare ya Bao 1--1.

Wapenzi wa Timu Idumu wakishangilia timu yao wakati wa Mchezo wao wa Ligi ya Sita Bora Daraja la Kwanza Taifa kuwania kupanda daraja kushiriki Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan Timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.



















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.