Wapenzi wa Timu Idumu wakishangilia timu yao wakati wa Mchezo wao wa Ligi ya Sita Bora Daraja la Kwanza Taifa kuwania kupanda daraja kushiriki Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan Timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
Chama cha ADC Chatowa Mafunzo kwa Mawakala Wao wa Usimamizi Uchaguzi Mkuu
2025
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe. Hamad Rashid
akizungumza na Mawakala wa Chama hicho wakati wa ufunguzi wa mafunzo
yaliyofan...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment