WAKURUGENZI wa Mabaraza ya Miji, Halmashauri na
madiwani wa mikoa miwili ya Pemba, wakimsikiliza kwa makini Waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za
Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ, Mhe:Haji Omar Kheir, akifanya
uteuzi wa kuteuwa Wakurugenzi wapya wa mabaraza ya miji na Halmashauri pamoja
na kuzindua madaraza ya madiwani Kisiwani Pemba, hafla hiyo iliyofanyika katika
ukumbi wa Makonyo Wawi Chake Chake Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman,PEMBA.)
MKURUGENZI wa Baraza la
Mji Wete Philipo Joseph akisoma ratiba za mkutano wa Waziri wa nchi ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na
Idara Maalumu za SMZ, Mhe:Haji Omar Kheir,
Philipo kabla ya uteuzi huo alikuwa akifanya kazi ofisi kuu Chake Chake.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
AFISA Mdhamini ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na
Idara Maalumu za SMZ, Juma Nyasa Juma akitoa
maelezo mafupi juu ya uzinduzi wa mabaraza ya madiwani Kisiwani Pemba,huko
katika ukumbi wa kiwanja wa Makonyo Wawi Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
KATIBU Mkuu Ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na
Idara Maalumu za SMZ, Mhe:Radhia Rashid Haroub,
akizungumza na madiwani, Wakurugenzi wa mabaraza ya Miji na Halmashauri
kisiwani Pemba, kabla ya kufanya uteuzi wa wakurugenzi wapya na kuzindua baraza
la madiwani Kisiwani Pemba.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWENYEKITI wa Madiwani
Wilaya ya Mkoani, Mwadini Ali Mwadini akitoa nasaha zake mara baada ya
kuzinduliwa kwa mabaraza ya madiwani Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Mkoa wa kusini
Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza na madiwani, Wakurugenzi wa
mabaraza ya Maji na Halmashauri Kisiwani Pemba, kabla ya waziri Haji Omar Kheri
kuteuwa wakurugenzi wapya na kuzindua mabaraza ya madiwani Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI wa nchi ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na
Idara Maalumu za SMZ, Mhe:Haji Omar Kheir,
akizungumza na madiwani, wakurugenzi wa mabaraza ya miji na Halmashauri
Kisiwani Pemba, kabla ya kufanya uteuzi wa wakurugenzi wapya wa mabaraza ya
miji na halmashauri na kuzindua baraza la madiwani Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI wa nchi ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na
Idara Maalumu za SMZ, Mhe:Haji Omar Kheir,
akiwaonyesha madiwani sheria ambayo inayowaongoza uwepo wao, utendaji wao wa
kazi za kila siku kabla ya kuzundua mabaraza ya madiwani Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Sueliman, PEMBA.)
WAZIRI wa nchi ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na
Idara Maalumu za SMZ, Mhe:Haji Omar Kheir,
akitoa taarifa ya kuwateuwa wakurugenzi wa halmashauri na mabaraza ya miji
kisiwani Pemba, kabla ya kuyazindua mabaraza ya madiwani kisiwani hapa.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKURUGENZI wa Baraza la
Mji Wete Philipo Joseph, akichukuwa dondoo za kikao kabla ya kuteuliwa kuwa
Mkurugenzi wa Baraza la mji Wete.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment