Mjasiriamali wa Biashara ya Matunda ya Matikiti kisiwani Pemba akiwa na matunda hayo katika mitaa ya Chakechake akisubiri wateja wa bidhaa hiyo. Matunda ya matikiti katika Visiwa vya Unguja na Pemba hulimwa kwa wingi na kutowa ajira kwa vijana.(Picha na Bakar Mussa--Pemba).
NIRC, JKT ZAUNGANA KUONGEZA UZALISHAJI KUPITIA UMWAGILIAJI
-
📍 Mlimba, Kilombero – Morogoro
Shamba la Chita JKT, lenye ukubwa wa ekari 12,000 zinazolimwa, limepangwa
kuwa mfano wa ushirikiano kati ya Jeshi la Kuje...
5 hours ago


0 Comments