Habari za Punde

Mjasiriamali wa Matunda ya Matikiti akiwa katrika Mitaa ya Chakechake Pemba.

Mjasiriamali wa Biashara ya Matunda ya Matikiti kisiwani Pemba akiwa na matunda hayo katika mitaa ya Chakechake akisubiri wateja wa bidhaa hiyo. Matunda ya matikiti katika Visiwa vya Unguja na Pemba hulimwa kwa wingi na kutowa ajira kwa vijana.(Picha na Bakar Mussa--Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.