Mjasiriamali wa Biashara ya Matunda ya Matikiti kisiwani Pemba akiwa na matunda hayo katika mitaa ya Chakechake akisubiri wateja wa bidhaa hiyo. Matunda ya matikiti katika Visiwa vya Unguja na Pemba hulimwa kwa wingi na kutowa ajira kwa vijana.(Picha na Bakar Mussa--Pemba).
TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
-
NA EMMANUEL MBATILO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani
Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kask...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment