MKUU wa Shirika la Magazeti ya Serikali ofisi ya Pemba, Bakari Mussa Juma akizungumza na wafanyakazi wa shirika hilo Ofisi ya Pemba, katika kikao maalumu cha kupanga mikakati mbali mbali ya kufanya kazi ili kuweza kuandika habari zinazoendana na soko la habari.(Picha Na Abdi Suleiman, PEMBA)
TRA YATAKA WANACHAMA WA SACCOS KUHAMASISHA ULIPAJI KODI NA MATUMIZI SAHIHI
YA MIKOPO
-
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
KAMISHNA wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, amewataka
wanachama wa Saccos nchini kuwa mabalozi wa kuhamasis...
48 minutes ago
0 Comments