MKUU wa Shirika la Magazeti ya Serikali ofisi ya Pemba, Bakari Mussa Juma akizungumza na wafanyakazi wa shirika hilo Ofisi ya Pemba, katika kikao maalumu cha kupanga mikakati mbali mbali ya kufanya kazi ili kuweza kuandika habari zinazoendana na soko la habari.(Picha Na Abdi Suleiman, PEMBA)
MAELFU DAR WAPAGAWA NA TAMASHA LA NYAMA CHOMA SOKO LA KUMBILAMOTO
-
Na Said Mwishehe
MAELFU ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika
tamasha la nyama choma ambalo limefanyika katika soko la Kumbilamo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment