MKUU wa Shirika la Magazeti ya Serikali ofisi ya Pemba, Bakari Mussa Juma akizungumza na wafanyakazi wa shirika hilo Ofisi ya Pemba, katika kikao maalumu cha kupanga mikakati mbali mbali ya kufanya kazi ili kuweza kuandika habari zinazoendana na soko la habari.(Picha Na Abdi Suleiman, PEMBA)
TANZANIA KUIMARISHA ZAIDI MFUMO IMARA WA UFUATILIAJI NA UDHIBITI
UTAKASISHAJI FEDHA HARAMU
-
Na. Joseph Mahumi, WF, Arusha
Tanzania imeihakikishia Jumuiya ya Kimataifa inayojihusisha na ufuatiliaji
na udhibiti wa Utakasishaji fedha haramu, ufadhili...
5 hours ago
0 Comments