Habari za Punde

Mandhari ya Eneo la Biashara Maarufu kwa Jina la Pinda Mgongo Saateni.

Wafanyabiashara katika eneo la sebleni wakifanya biashara zao baada ya kuhamia eneo hilo lililotengwa kwa ajili yao baada ya kuhamishwa katika eneo la jua kali darajani na kuhamishiwa sehemu hiyo eneo la saateni ili kuendelea na biashara zao kama inavyoonekana pichani wakiwa katika eneo hilo.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.