Wafanyabiashara katika eneo la sebleni wakifanya biashara zao baada ya kuhamia eneo hilo lililotengwa kwa ajili yao baada ya kuhamishwa katika eneo la jua kali darajani na kuhamishiwa sehemu hiyo eneo la saateni ili kuendelea na biashara zao kama inavyoonekana pichani wakiwa katika eneo hilo.
WIZARA YA AFYA YASIKITISHWA NA WANAOTAPELI KWA JINA LA MCHENGERWA
-
WIZARA ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu
ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary
Mchengerwa ku...
3 hours ago
0 Comments