Wafanyabiashara katika eneo la sebleni wakifanya biashara zao baada ya kuhamia eneo hilo lililotengwa kwa ajili yao baada ya kuhamishwa katika eneo la jua kali darajani na kuhamishiwa sehemu hiyo eneo la saateni ili kuendelea na biashara zao kama inavyoonekana pichani wakiwa katika eneo hilo.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment