Mkurugenzi wa Manispaa Magharibi A Said Juma Ahmada na wanakikundi cha “Tusijitenge”wakizoa mchanga na kupakia katika Gari la kuzolea taka.
Mkurugenzi wa Manispaa Magharibi A Said Juma Ahmada akikusanya mchanga Barabara ijulikanayo kama Mkapa Rood kuashiria uzinduzi wa usafi wa Barabara za Manispaa hiyo.
No comments:
Post a Comment