Habari za Punde

MANISPAA YA MAGHARIBI ‘A’ YAFANYA UZINDUZI WA VIKUNDI VYA USAFISHAJI KATIKA MANISPAA YAO.

Mkurugenzi wa Manispaa Magharibi A Said Juma Ahmada na wanakikundi cha “Tusijitenge”wakizoa mchanga na kupakia katika Gari la kuzolea taka.
Mkurugenzi wa Manispaa Magharibi A Said Juma Ahmada akikusanya mchanga Barabara ijulikanayo kama Mkapa Rood kuashiria uzinduzi wa usafi wa Barabara za Manispaa hiyo.





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.