Habari za Punde

Mwandishi wa ZBC Mawio Zanzibar Hidaya Khamis Amefariki Dunia Asubuhi ya Leo Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar

Mwandishi wa Habari wa ZBC Redio Kitengo cha Mawio Hidaya Khamis amefariki Dunia asubuhi ya kuamkia leo katika hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya kuugua hafla. Marehemu alikua mfanyakazi wa ZBC Redio akiripoti habari za Mawio Zanzibar. 
 Marehemu amezikwa leo kijijini kwao Unguja Ukuu mchana baada ya Sala ya Ijumaa.
Mwebnyenzi Mungu ampe malazi mema. 
Inalillah Waina Rajuhn.  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.