Naibu Waziri wa nchi wa Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe. Mihayo Juma Nhunga akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Jumuia ya watu wenye ulemavu Zanzibar, Bibi Abeda Rashid Abdallah. Bi Abeda alimueleza Waziri huyo kuhusu matatizo yanayowakabili watu wenye ulemavu.
Picha kwa hisani ya Salma Lusangi
No comments:
Post a Comment