Mkurugenzi Mkuu wa Bima ya Afya AAR Violet Mordichai, akizumgumza na wadau wa sekta ya
afya wanaotua huduma kwa wagonjwa wa mbalimbali wanaofika kupata matibabu
kupitia bima hiyo , uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya double Tree shangani
Zanzibar uliowashirikisha wamiliki wa hospitali na taasisi za serikali zinazopata huduma ya Bima ya Afya kupitia AAR.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment