Mkurugenzi Mkuu wa Bima ya Afya AAR Violet Mordichai, akizumgumza na wadau wa sekta ya
afya wanaotua huduma kwa wagonjwa wa mbalimbali wanaofika kupata matibabu
kupitia bima hiyo , uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya double Tree shangani
Zanzibar uliowashirikisha wamiliki wa hospitali na taasisi za serikali zinazopata huduma ya Bima ya Afya kupitia AAR.
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment