Mkurugenzi Mkuu wa Bima ya Afya AAR Violet Mordichai, akizumgumza na wadau wa sekta ya
afya wanaotua huduma kwa wagonjwa wa mbalimbali wanaofika kupata matibabu
kupitia bima hiyo , uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya double Tree shangani
Zanzibar uliowashirikisha wamiliki wa hospitali na taasisi za serikali zinazopata huduma ya Bima ya Afya kupitia AAR.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment