Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akiwasalimia wakazi wa Nyamikoma
Wilayani Busega wakati akiwa njiani kuelekea mkoani Simiyu kwa ajili ya
ufunguzi wa barabara ya Bariadi-Lamadi.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akiwasalimia wakazi wa Kisesa
mkoani Mwanza wakati akiwa njiani kuelekea mkoani Simiyu kwa ajili ya ufunguzi
wa barabara ya Bariadi-Lamadi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akiwasalimia wakazi
wa Magu mkoani Mwanza wakati akiwa njiani kuelekea mkoani Simiyu kwa ajili ya
ufunguzi wa barabara ya Bariadi-Lamadi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli mara baada ya
kushuka kwenye kivuko cha Mv Misungwi wakati akitokea Chato mkoani Geita.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment