MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe;Salama Mbarouk
Khatib, akiwaongoza vijana mbali mbali katika kufanya mazoezi, ikiwa ni
kumuunga Mkoano Rais wa Zanzibar, Mhe:Dk Ali Mohamed Shein kila Tarehe mosi ya
kila mwaka kuwa siku ya Mazoezi.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe;Salama Mbarouk
Khatib, akiwaongoza vijana mbali mbali katika kufanya mazoezi, ikiwa ni
kumuunga Mkoano Rais wa Zanzibar, Mhe:Dk Ali Mohamed Shein kila Tarehe mosi ya
kila mwaka kuwa siku ya Mazoezi.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KIKUNDI cha Mazoezi Gombani Chake Chake wakifanya
mazoezi ndani ya Uwanja wa Gombani, kwa kuunga mkono kauli ya Mkuu wa Wilaya ya
Chake Chake kuwa Januari mosi kuwa ni siku ya Mazoezi Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAFANYA Mazoezi kutoka Vikundi mbali mbali wakifanya
mazoezi ya Viungo katika uwanja wa Michezo Gombani, ikiwa ni kumuunga mkono
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, kuwa kila Januari mosi ya kila mwaka
kuwa siku ya Mazoezi.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
WAFANYA Mazoezi kutoka Vikundi mbali mbali wakifanya mazoezi ya Viungo katika uwanja wa Michezo Gombani, ikiwa ni kumuunga mkono Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, kuwa kila Januari mosi ya kila mwaka kuwa siku ya Mazoezi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Salama Mbarouk
Khatib, akiwaongoza akinamama wenzake katika uwafanyaji wa mazoezi kisiwani
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Salama Mbarouk Khatib,
akizungumz ana wanavikundi vya mazoezi baada ya kumalizika kwa ufanyaji wa
mazoezi Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment