Habari za Punde

Hafla ya utambulisho wa vitabu vya lugha ya kiingereza vya wanafunzi wa skuli za msingi Zanzibar

 MC  Mwanaije Muhammed Makame akiwa akiwatangazia washirikia hafla ya utambulisho wa vitabu vya lugha ya kiingereza vya wanafunzi wa msingi Zanzibar, vitabu vilivyotolewa na Milele Zanzibar Foundation,hii ni jana huko Misali Wesha Pemba
(Picha na Salmin Juma)
 Washiriki katika utambulisho wa vitabu vya kiingereza wakiwa makini kuwasikiliza waendesha mada juu ya namna bora ya kuvutumia vitabu hivyo kuwafundishi wanafunzi,hii jana huko katika hoteli ya Misali Wesha pemba ambapo Milele waliwakutanisha walimu kutoka skuli mbalimbali kwa lengo la kupata mafunzo hayo.
(Picha na Salmin Juma)
 Bi  Safia Ali Rijali Director  pre-primary and primary  education akiyafungua mkutano wa utambulisho wa vitabu vya kiingereza kwa walimu wa skuli mbalimbali kisiwani pemba.
(Picha na Salmin Juma)
 Ali Muhammed Mbarouk  Mhasibu wa Milele Zanzibar Foundation akiwa na Asha Seif Ali ambae ni Project Officer wa Milele wakiwa makini kutekeleza majukumu yao katika mkutano wa kuvitambulisha vitabu vya kiingereza kwa wanafunzi wa elimu ya msingi Zanzibar.
(Picha na Salmin Juma)
 Mwalimu Abdulrahman Omar Mzee wa skuli ya Connecting Continent Secondary School akichangia mada ya mbinu  nzuri za  kuwasomesha wanafunzi  iliyokua ikiendeshwa na Dk Maryam  Jaffar Ismail (Dean –school  of education SUZA) katika hafla hiyo iliyoandaliwa na Milele Zanzibar Foundation jana katika hoteli ya Misali Wesha
(Picha na Salmin Juma
 na Dk Maryam  Jaffar Ismail (Dean –school  of education SUZA) akitoa mafunzo kwa walimu na washiriki mbalimbali wa utambulisho wa vitabu vya kiingereza kwa wanafunzi wa elimu ya msingi Zanzibar,hafla hii imeandaliwa na Milele Zanzibar Foundation jana.
(Picha na Salmin Juma)
 Kulia ni Fatma Khamis ambae ni  Projct Officer (PEMBA) wa Milele Zanzibar Foundation na kutosho ni Zuhira Khaldun Diara  Communication Specialist wakiwa makini kufatilia mchakato wa usomeshaji walimu na wadau wa sekta hiyo juu ya kuwafunza wanafunzi wao vitabu vipya vilivyoletwa na taasisi ya Milele Zanzibar Foundation.
(Picha na Salmin Juma)
Mkuu wa Programu kutoka Milele Zanzibar Foundation akitoa neno kwa waalikwa wa mafunzo ya usomeshaji bora wanafunzi katika lugha ya kiingereza na utambulisho wa vitabu vipya vya lugha hivyo.
(Picha na Salmin Juma)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.