Ujenzi wa mabanda kwa ajili ya wafanyabiashara katika viwanja vinavyotarajiwa kusherehekea sikukuu ya Eid el Fitry baada ya mfungo w Mwezi wa Ramadhani kumalizika mwishoni mwa wiki hii yamekamilika kutoka kwa baraza la manispa zanzibar kufanikisha ujenzi huo. Unaofanywa na kampuni ya Africana. Mabanda hayo hukodishwa kwa siku nne kwa shilingi 80,000/= na 70,000/= kutegemea biashara unayofanya.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment