Mshambuliaji wa Timu ya Jangombe Boys akijaribu kuwapita mabeki wa Timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar Nane Bora mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Zimamoto imeshinda bao 1-0.
TWENDE TUKAENDELEE KUTEKELEZA MAGEUZI YA ELIMU: PROF. MKENDA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda ametoa Wito
kwa Umoja wa Wakuu wa Shule za msingi za ...
6 hours ago
0 Comments