Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Nane Bora Kati ya Zimamoto na Jangombe Boys Uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Zimamoto Imeshinda Bao 1--0.

Mshambuliaji wa Timu ya Jangombe Boys akijaribu kuwapita mabeki wa Timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar Nane Bora mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Zimamoto imeshinda bao 1-0.















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.