Mfanyabiashara katika Marikiti Kuu ya Darajani akiwa katika harakati za kuhamisha bidhaa hiyo ya matunda ya mananasi baada ya kuwasili katika marikiti hiyo kwa ajili ya kuuzwa kwa wananchi wanaofika katika kupata mahitaji yao. Nanasi moja liliuzwa kati ya shilingi 3500 hadi 6000 inategemea ukubwa wake.
TotalEnergies Yapanua Mradi wa VIA Creative Kufikia Wanafunzi wa Sekondari
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Katika kuimarisha usalama wa wanafunzi barabarani, kampuni ya TotalEnergies
Marketing Tanzania Limited kwa kushirikiana na ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment