Mfanyabiashara katika Marikiti Kuu ya Darajani akiwa katika harakati za kuhamisha bidhaa hiyo ya matunda ya mananasi baada ya kuwasili katika marikiti hiyo kwa ajili ya kuuzwa kwa wananchi wanaofika katika kupata mahitaji yao. Nanasi moja liliuzwa kati ya shilingi 3500 hadi 6000 inategemea ukubwa wake.
TWENDE TUKAENDELEE KUTEKELEZA MAGEUZI YA ELIMU: PROF. MKENDA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda ametoa Wito
kwa Umoja wa Wakuu wa Shule za msingi za ...
6 hours ago
0 Comments