Mfanyabiashara katika Marikiti Kuu ya Darajani akiwa katika harakati za kuhamisha bidhaa hiyo ya matunda ya mananasi baada ya kuwasili katika marikiti hiyo kwa ajili ya kuuzwa kwa wananchi wanaofika katika kupata mahitaji yao. Nanasi moja liliuzwa kati ya shilingi 3500 hadi 6000 inategemea ukubwa wake.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment