Hatua ya Pili ya Ujenzi wa Ukuta wa Ufukwe wa Bustani ya Forodhani ukiendelea na ujenzi huo baada ya kumaliza sehemu ya barabara katika eneo hilo linalojengwa kwa ajili ya mapumziko kwa Wananchi wanaofika katika eneo hilo wakati wa jioni kwa wageni na wanyeji wa Visiwa vya Zanzibar.
Teknolojia : JAB Yakabidhi Press Card kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Michuzi
Media Group
-
●Waandishi Wengine Watakiwa Kuhakiki Viambatisho Katika Mfumo
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandis...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment