Hatua ya Pili ya Ujenzi wa Ukuta wa Ufukwe wa Bustani ya Forodhani ukiendelea na ujenzi huo baada ya kumaliza sehemu ya barabara katika eneo hilo linalojengwa kwa ajili ya mapumziko kwa Wananchi wanaofika katika eneo hilo wakati wa jioni kwa wageni na wanyeji wa Visiwa vya Zanzibar.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment