Hatua ya Pili ya Ujenzi wa Ukuta wa Ufukwe wa Bustani ya Forodhani ukiendelea na ujenzi huo baada ya kumaliza sehemu ya barabara katika eneo hilo linalojengwa kwa ajili ya mapumziko kwa Wananchi wanaofika katika eneo hilo wakati wa jioni kwa wageni na wanyeji wa Visiwa vya Zanzibar.
TWENDE TUKAENDELEE KUTEKELEZA MAGEUZI YA ELIMU: PROF. MKENDA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda ametoa Wito
kwa Umoja wa Wakuu wa Shule za msingi za ...
7 hours ago
0 Comments