Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa na Mwenyekiti wa Tawi la CCM Bweleo akikagua Tawi hilo baada ya kuweka jiwe la msingi akiwa katika ziara yake kuimarisha Chama katika Mkoa wa Mjinii Magharibi Unguja.
MRADI WA BILIONI 15.3 WA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 175 WAPOKELEWA KWA
SHANGWE MTWARA
-
-Zaidi ya Kaya 5,600 kunufaika
Wananchi wa vitongoji vya Msokole na Funguni Kijiji cha Mnazi Kata ya
Nalingu Mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuwape...
26 minutes ago
0 Comments