Habari za Punde

Wananchi wa Shehia ya Wingwi Mapofu Wapata Elimu ya Sheria.

Sheha wa shehia ya Wingwi mapofu, Ali Hamad Saleh akifunga mkutano wa  wazi, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, kwa ajili ya wananchi wake , kupewa msaada wa kisheria, mkutano huo ulifanyika skuli ya maandalizi shehiani humo
Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Mohamed Hassan Ali, akijibu maswali ya kisheria ya wananchi wa shehia ya Wingwi mapofu wilaya ya Micheweni Pemba, kwenye mkutano wa wazi wa kutoa msaada wa kisheria, ulioandaliwa na ZLSC na kufanyika skuli ya maandalizi ya shehia hiyo
Wananchi wa shehia ya Wingwi mapofu wilaya ya Micheweni Pemba, wakifuatilia mkutano wa wazi wa kupewa masaada wa kisheria, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar, ZLSC tawi la Pemba na kufanyika skuli ya Maandalizi ya kijiji hicho
Vijana wa Shehia ya Wingwi mapofu wilaya ya Micheweni Pemba, wakisoma majarida yanayochapishwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC, mara baada ya kumalizika, kwa mkutano wa kuwapa msaada wa sheria wananchi hao, mkutano huo ulioandaliwa na ZLSC na kufanyika skuli ya Maandalizi shehiani hapo
 Mwananchi wa Shehia ya Wingwi mapofu, wilaya ya Micheweni Pemba, akiuliza suali, kwenye mkutano wa wazi, wa kutoa masaada wa kisheria kwao, mkutano huo uliandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba
WANANCHI wa shehia ya Wingwi mapofu wilaya ya Micheweni Pemba, wakifuatilia mkutano wa wazi wa kupewa masaada wa kisheria, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar, ZLSC tawi la Pemba na kufanyika skuli ya Maandalizi ya kijiji hicho.(Picha na Haji Nassor Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.