Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiswahili Jumuiya ya Afrika Mashariki Profesa Kenneth Simala akizungumza wakati wa hafla ya chakula cha usiku baada ya kumalizika Kongamano la Kiswahili la Kimataifa lililofanyika Zanzibar katika hoteli ya Golden Tulip Malindi Zanzibar na kushirikisha Wadau mbalimbali wa Kiswahili kutoka Nchi za Afrika Mashariki na Nje walihudhuria Kongamano hilo. Hafla hiyo ya Chakula cha usiku na Taraan ya Kikundi cha Rahatul Zamani ilifanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni Zanzibar.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment