Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiswahili Jumuiya ya Afrika Mashariki Profesa Kenneth Simala akizungumza wakati wa hafla ya chakula cha usiku baada ya kumalizika Kongamano la Kiswahili la Kimataifa lililofanyika Zanzibar katika hoteli ya Golden Tulip Malindi Zanzibar na kushirikisha Wadau mbalimbali wa Kiswahili kutoka Nchi za Afrika Mashariki na Nje walihudhuria Kongamano hilo. Hafla hiyo ya Chakula cha usiku na Taraan ya Kikundi cha Rahatul Zamani ilifanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni Zanzibar.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa
Amrepokea Tuzo ya Kuendeleza Ufugaji Nyuki Nchini. Watanzania Tuendelee
Kumtunza Mdudu Nyuki
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizundua Mpango wa Kuendeleza Sekta ya
Ufugaji Nyuki kwa Tanzania iliyo Bora katika Maadhimisho ya Siku ya Nyuki
Duniani kw...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment