Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiswahili Jumuiya ya Afrika Mashariki Profesa Kenneth Simala akizungumza wakati wa hafla ya chakula cha usiku baada ya kumalizika Kongamano la Kiswahili la Kimataifa lililofanyika Zanzibar katika hoteli ya Golden Tulip Malindi Zanzibar na kushirikisha Wadau mbalimbali wa Kiswahili kutoka Nchi za Afrika Mashariki na Nje walihudhuria Kongamano hilo. Hafla hiyo ya Chakula cha usiku na Taraan ya Kikundi cha Rahatul Zamani ilifanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni Zanzibar.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment