TANGAZO LA NAFASI YA KAZI AMS
Alfalah Muslim School inatangaza nafasi ya kazi zifuatazo:
1.Mwalimu wa lugha ya Kiingereza nafasi moja
2. Mwalimu wa hesabati nafasi moja
Sifa:
-Awe amepata mafunzo ya ualimu cheti au diploma kwa muktadha wa solo husika
Pahala pa kazi- Alfalah Primary School
3.Mwalimu wa masomo ya biashara nafasi moja
4.Mwalimu wa Hesabati na Fikizikia au Hesabati na Kemia
Nafasi mbili
5.Mwalimu wa sayansi ya komputa (IT), nafasi moja
Sifa:
Awe amehitimu ngazi ya Stashada au Shahada ya ualimu kwa masomo husika
Pahala pa kazi: Alfalah Muslim Sekondari
Maombi yatumwe kwa Mkurugenzi, Alfalah Muslim School
,Mombasa, Zanzibar si zaidi ya tarehe 15 Novemba na usaili unatarajiwa kufanyika tarehe 2 Disemba
No comments:
Post a Comment