Mfanyakazi wa Baraza la Minispa Zanzibar akizoa michanga katika moja ya barabara katika eneo la rahaleo ili kuiweka katika miundombinu mizuri ya barabara hiyo baada ya kupita kwa mvua za vuli zinazonyesha katika maeneo mbalimbali ya Mjini wa Zanzibar na kusababisha milundikano ya michanga katika njia hiyo.
WAZIRI MASAUNI ACHAGULIWA MAKAMU WA RAIS BARAZA LA MAZINGIRA LA UMOJA WA
MATAIFA
-
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe.
Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Baraza la
Mazingi...
1 hour ago
0 Comments