Mfanyakazi wa Baraza la Minispa Zanzibar akizoa michanga katika moja ya barabara katika eneo la rahaleo ili kuiweka katika miundombinu mizuri ya barabara hiyo baada ya kupita kwa mvua za vuli zinazonyesha katika maeneo mbalimbali ya Mjini wa Zanzibar na kusababisha milundikano ya michanga katika njia hiyo.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment