Mfanyakazi wa Baraza la Minispa Zanzibar akizoa michanga katika moja ya barabara katika eneo la rahaleo ili kuiweka katika miundombinu mizuri ya barabara hiyo baada ya kupita kwa mvua za vuli zinazonyesha katika maeneo mbalimbali ya Mjini wa Zanzibar na kusababisha milundikano ya michanga katika njia hiyo.
MAJALIWA AWASILI SHELISHELI KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA UAPISHO WA RAIS
MTEULE DKT. PATRICK
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2025 amewasili Seychelles kwa
ajili ya kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa Rais
mteule ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment