Habari za Punde

Wananchi Jijini Mwanza wapatiwa Tiba ya Viungo na Ushauri Bure

Ni katika viunga vya Hospitali ya Rufaa Bugando Jijini Mwanza ambapo Chama cha Watoa Tiba kwa Vitendo Tanzania TOTA, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kimetoa fursa kwa wanchi kupata huduma ya tiba ya viungo na ushauri bure.

Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza, Dkt.Leonard Subi akifungua kongamano hilo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe.John Mongella 
Rais wa Chama cha Watoa Tiba kwa Vitendo Tanzania TOTA, bI.Neophita Lukiringi akizungumza kweny uzinduzi huo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.