Ni katika viunga vya Hospitali ya Rufaa Bugando Jijini Mwanza ambapo Chama cha Watoa Tiba kwa Vitendo Tanzania TOTA, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kimetoa fursa kwa wanchi kupata huduma ya tiba ya viungo na ushauri bure.
![](http://www.bmghabari.com/wp-content/uploads/2017/11/2-34-1024x768.jpg)
![](http://www.bmghabari.com/wp-content/uploads/2017/11/3-29-1024x768.jpg)
Rais wa Chama cha Watoa Tiba kwa Vitendo Tanzania TOTA, bI.Neophita Lukiringi akizungumza kweny uzinduzi huo.
No comments:
Post a Comment