MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif
Ali Idd, akishiriki katika usafi wa mazingira katika hospitali ya Chake Chake,
Pamoja na viongozi mbali mbali wa serikali akiwemo mkuu wa Mkoa wa Kusini
Pemba, Hemed Suleiman Abdalla, katibu tawala mkoa huo Yussuf Mohamed Ali na
Kamanda wa Polisi Mkoa kusini Sheikhan Mohamed Sheikhan, ikiwa ni uzinduzi wa
shamrashamra za kuadhimisha miaka 54 ya Mpainduzi matukufu ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi, akitoka katika Hospitali ya Chake Chake, kulia ni Mkuu wa Mkoa wa
Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, mara baada ya kumaliza usafi wa mazingira
ikiwa ni uzinduzi wa shamrashamra za kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi matukufu
ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN,PEMBA)
KATIBU Tawala Mkoa wa Kaskazini Pemba, Yussuf Mohamed Ali akizungumza na wananchi mbali mbali wa chake chake, wakati wa uzinduzi wa shamrashamra za kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla
akitoa salamu za wananchi wa mkoa huo, kwa makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar,
wakati wa uzinduzi wa shamrashamra za kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi ya
Zanzibar yaliyofanyika katika kiwanja cha Tenisi Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi, akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Chake Chake katika uwanja wa
Tenisi, baada ya kumalizika kwa zoezi la usafi katika hospitali ya Chake Chake,
ikiwa ni uzinduzi wa shamarashama za kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi matukufu
ya Zanzibar.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN,PEMBA)
WANANCHI mbali mbali wa mji wa Chake Chake
wakisikiliza kwa makini hutaba ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, wakati
alipokuwa akizungumzanao baada ya kuzindua shamrashamra za kuadhimisha miaka 54
ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
BAADHI ya wafanyakazi wa Wizara ya Habari Utalii
utamaduni na Michezo Pemba, wakifanya usafi katika jengo la Wizara hiyo, ikiwa
ni uzinduzi wa shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya matukufu ya zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
No comments:
Post a Comment