Mchezaji wa Timu ya Zimamoto na JKU wakiwania mpira wakati wa michuano ya Kombe la Mapinduzi mchezo uliofanyika jioni hii katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu yaJKU imeshinda bao 1 -0.
Mshambuliaji wa Timu ya JKU Alhaji Said akimpita beki wa Timu ya Zimamoto Shafii Hassan, wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi inayofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar, Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
No comments:
Post a Comment