Habari za Punde

Zanzibar Heroes sare 0-0 na Pemba Kombaini

 WAZIRI wa Habari Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Mhe:Rashid Ali Juma akisalimiana na wachezaji wa Timu ya Pemba Kombain, wakati wa mchezo wa Kirafiki kati ya Zanzibar Heroes na Pemba Kombain uliopigwa katika uwanja wa michezo Gombani mchezo kumalizika kwa 0-0.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MCHEZAJI wa Timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) Ibrahim Ahmada Hilika, akitafuta mbinu za kumpita mlinzi wa timu ya Pemba Kombaini, Massoud Said Kassim wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya Zanzibar Heroes na Pemba Kombaini uliopigwa uwanja wa Gombani na kumalizika kwa 0-0.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MASHABIKI wa Soka Kisiwani Pemba wakishuhudia pambano la Pemba, Kombaini dhidi ya mashujaa wa Zanzibar katika mashindano ya Cahlenj, Timu ya Zanzibar Heroes mchezo uliopigwa katika uwanja wa michezo Gombani na kumalizika kwa 0-0.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.