VIONGOZI mbali mbali wa Serikali wakiongozwa na Waziri
wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Pemba, Mhe:Rashid Ali Juma katikaati, kushoto
ni Mshauri wa Rais mambo ya Utalii, utamaduni na Michezo Zanzibar Chimbeni
Kheri na kulia ni Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes)
Hemed Suleiman Moroko, wakiangalia kikundi cha Taifa cha Tarab wakati wa haflan
ya kuwapongeza wachezaji wa Zanzibar Heroes iliyofanyika uwanja wa Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
VIONGOZI mbali mbali wa Serikali Kisiwani Pemba,
wakiongozwa na Afisa Mdhamini wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Pemba,
Khatib Juma Mjaja, wakifuatilia kwa makini tarab kutoka kikundi chan Taifa,
wakati wa sherehe ya timu ya Zanzibar Heroes katika uwanja wa Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
VIONGOZI mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar, Wakiongozwa na Waziri wa Wizara ya Habari Utalii, Utamaduni na
Michezo Zanzibar, Mhe:Rashid Ali Juma, wakifuatilia kwa makini Tarab ya kikundi
cha Taifa Zanzibar. .(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA).
WAPIGAJI wa magitaa katika kikundi cha Taifa cha
Taraba Zanzibar, wakiwajibika katika kazi ili kupata mziki mzuri wa tarab,
wakati wa sherehe ya kuwapongeza wachezaji wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes
tarab iliyofanyika katika uwanja wa michezo Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
VIONGOZI wa Serikali wakiongozwa na Naibu Waziri wa
Wizara ya habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba Mhe:Chumu Kombo Khamis
(Katikati), kulia ni kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Salama Mbarouk
Khatib na kushoto ni Katibu tawala Wilaya ya Mkoani Miza Hassan Faki,
wakifuatilia kwa makini kikundi cha Tarab ya Taifa katika uwanja wa Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
AFISA Mdhamini Wizara ya habari Utalii, Utamaduni na
Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja akitoa maelezo machache juu uwepo wa timu ya
Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar
Heroes) Hemed Suleiman Moroko, akiwatambulisha wachezaji wake katika shehere
maalumu ya Tarab ya kuwapongeza wachezaji wa timu hiyo, iliyofanyika katika
uwanja wa Michezo Gombani.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar
Heroes) Hemed Suleiman Maroko, akimtunza mmoja wa waimbaji wa kikundi cha Tarab
cha Taifa Zanzibar, wakati wakiimba wimbo wa kuipongeza timu ya Zanzibar Heroes
katika taarab maalumu iliyofanyika uwanja wa Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAZIRI wa Habari
Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Mhe:Rashid Ali Juma akitoa salamu za
Mhe:Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
wakati wa sherehe za kuwapongeza wachezaji wa Timu ya Zanzibar Heroes katika
uwanja wa michezo Gombani.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA
MKUU wa Wilaya ya Wete Mhe:Abeid Juma Ali akimtunza
mmoja wa waimbaji wa nyimbo ya Taraba, inayojulikana kwa jina la Baba shein Uko
sawa ya kuwapongeza wachezaji wa Zanzibar heroes.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment