Mchezaji wa Timu ya Singida Unite Michel Rusheshangoga akiruka kihuzi cha beki wa Timu ya Zimamoto Amour Haji akiwa chini na Hassan Haji akijaribu kumzuiya wakati wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya Singida imeshinda mchezo huo kwa bao 3 -2.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan
ahutubia katika Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uturuki Jijini
Istanbul
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Wafanyabiashara na Wawekezaji katika Jukwaa la
Wafanyabiashara wa Tanzani...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment