Mchezaji wa Timu ya Singida Unite Michel Rusheshangoga akiruka kihuzi cha beki wa Timu ya Zimamoto Amour Haji akiwa chini na Hassan Haji akijaribu kumzuiya wakati wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya Singida imeshinda mchezo huo kwa bao 3 -2.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment