Habari za Punde

Rais Dk. Shein, Awazawadia Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni Zanzibar Sand Heroes

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Sand Heroes katika chakula cha mchana alichowaandalia katika viwanja vya Ikulu Zanzibar kwa kuchukua Ubingwa wa Mchezi wa Beach Soka michuano ilioandaliwa na TFF Jijini Da es Salaam baada ya kuingia faina na kuifunga Timu ya Malawi kwa mabao 3 -2
WACHEZAJI wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Sand Heroes wakijumuika katika chakula cha mchana walichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa kuwapongeza na kuwazawadia kila Mchezaji shilingi milioni moja taslim, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar leo
WACHEZAJI wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Sand Heroes wakijumuika katika chakula cha mchana walichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa kuwapongeza na kuwazawadia kila Mchezaji shilingi milioni moja taslim, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar leo
KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Sand Heroes Ali Shariff Adof , akizungumza wakati wa hafla hiyo ya chakula cha mchana kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, walipofika Ikulu Zanzibar kutambulishwa baada ya kuchukua Ubingwa wa Mchezo wa Bech Sko kwa kuifunga Timu ya Malawi kwa bao 3-2. michuani iliofanyika Jijini Dar es Salaam wiki iliopita 
RAIS wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akifurahia jambo wakati wa kutambulishwa kwa Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Sand Heroes na Kocha Mkuu Ali Shariff Adof, wakati hafla ya chakula cha mchana alichoandaa kwa ajili yao
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa ufukweni Zanzibar Sand Heroes iliotowa Ubingwa wa mchezo huo baada ya kuifunga Timu ya Malawi 3 -2, wakati wa mashindano ya Kimataifa yalioandaliwa na TFF Jijini Dar es Salaam wiki iliopita, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi mmoja wa Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Sand Heroes shilingi milioni moja kwa ajili ya kuwapongeza kwa ushindi waliopata wa kulitowa Kombe la Ubingwa wa Mchezo wa Soka la Ufukweli lililoandaliwa na TFF Jijini Dar es Salaam
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar pamoja na Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Sand Heroes,wakiwa katika picha ya pamoja bada ya hafla hiyo ya kuwapongeza na kuwazawadia kila mchezaji na Viongozi wao shilingi milioni moja kila mmoja
MAWAZIRI na Makatibu Wakuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Sand Heroes, baada ya hafla ya chakula cha mchana kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, katika viwanja ya Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa na Kombe la Ubingwa wa Mchezo wa Soka la Ufukweni baada ya kukabidhiwa wakati wa hafla ya chakula cha mchana alichowaandaliwa wachezaji hao, akiwa na Waziri wa HabariUtalii Utamaduni na Michezo Zanzibar. Mhe. Rashid Ali Juma.leo Ikulu Zanzibar
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Wachezaji wa zamani wa Zanzibar na Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Znzibar Sand Heroes baada ya hafla ya chakula cha mchana Ikulu Zanzibar leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Mchezo wa Sola la Ufukweni Zanzibar Sand Heroes baada ya hafla ya chakula cha mchana na kuwazawadia kila mmoja shilingi milioni moja

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.