Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akichangia Hutuba ya Bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Sheria Katiba Utumishi wa Umma na Utawala Bora, leo baada ya kusomwa na Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Haroun Ali Suleiman, katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment