Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akichangia Hutuba ya Bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Sheria Katiba Utumishi wa Umma na Utawala Bora, leo baada ya kusomwa na Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Haroun Ali Suleiman, katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar.
KAMATI YA BUNGE UWEKEZAJI MITAJI YA UMMA YARIDHISWA NA MRADI WA MAKAZI WA
CANADIAN MASAKI
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma
(PIC), Masanja Kadogosa, leo Machi 24, 2026 ameongoza ziara ya ukaguzi wa
mradi...
1 hour ago
0 Comments