UZINDUZI WA TAMASHA LA 54 MASHINDANO YA ELIMU BILA MALIPO, UWANJA WA AMANI ZANZIBAR, MGENI RASMI BALOZI ALI KARUME AKIWA SAMBAMBA NA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MH RIZIKI PEMBE JUMA. KILELE CHA MASHINDANO HAYO NI JUMAPILI TARH 23/9/2018 MGENI RASMI KATIKA SHEREHE HIZO ANATARAJIWA KUWA RAISI WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DR ALI MOHAMED SHEIN.
Serikali Yaahidi Kuwawezesha Watu Wenye Ulemavu Kushiriki Shughuli za
Uchumi na Jamii
-
WAZIRI wa nchi ofisi ya waziri mkuu kazi, ajira, vijana na watu wenye
ulemavu Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete ameshiriki kongamano la watu Wenye
Ulemavu l...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment