UZINDUZI WA TAMASHA LA 54 MASHINDANO YA ELIMU BILA MALIPO, UWANJA WA AMANI ZANZIBAR, MGENI RASMI BALOZI ALI KARUME AKIWA SAMBAMBA NA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MH RIZIKI PEMBE JUMA. KILELE CHA MASHINDANO HAYO NI JUMAPILI TARH 23/9/2018 MGENI RASMI KATIKA SHEREHE HIZO ANATARAJIWA KUWA RAISI WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DR ALI MOHAMED SHEIN.
BASATA YAZINDUA RASMI TUZO ZA TMA
-
BARAZA La Sanaa (BASATA) lafungua rasmi dirisha la Kupendekeza Kazi za
Wasanii katika tuzo za Muziki nchini TMA zinazotarajiwa kufanyika Disemba
mwaka huu....
1 hour ago




No comments:
Post a Comment