UZINDUZI WA TAMASHA LA 54 MASHINDANO YA ELIMU BILA MALIPO, UWANJA WA AMANI ZANZIBAR, MGENI RASMI BALOZI ALI KARUME AKIWA SAMBAMBA NA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MH RIZIKI PEMBE JUMA. KILELE CHA MASHINDANO HAYO NI JUMAPILI TARH 23/9/2018 MGENI RASMI KATIKA SHEREHE HIZO ANATARAJIWA KUWA RAISI WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DR ALI MOHAMED SHEIN.
TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
-
NA EMMANUEL MBATILO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani
Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kask...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment