UZINDUZI WA TAMASHA LA 54 MASHINDANO YA ELIMU BILA MALIPO, UWANJA WA AMANI ZANZIBAR, MGENI RASMI BALOZI ALI KARUME AKIWA SAMBAMBA NA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MH RIZIKI PEMBE JUMA. KILELE CHA MASHINDANO HAYO NI JUMAPILI TARH 23/9/2018 MGENI RASMI KATIKA SHEREHE HIZO ANATARAJIWA KUWA RAISI WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DR ALI MOHAMED SHEIN.
BAJETI YA TAMISEMI YAWAPA TUMAINI WANAHARAKATI WA JINSIA
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
ONGEZEKO la fedha shilingi Trilioni 10 kwenye bajeti ya Wizara ya Tamisemi
imeibua matumaini kwa Wanaharakati wa masuala ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment