Uongizi wa Benki ya Watu wa Zanzibar unatoa pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa ajali mbaya ya MV Nyerere iliyotokea tarehe 20.09.2018
Mwenyezi mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi. Amin
Tunawaombea majeruhi wote wapone haraka.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment