Uongizi wa Benki ya Watu wa Zanzibar unatoa pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa ajali mbaya ya MV Nyerere iliyotokea tarehe 20.09.2018
Mwenyezi mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi. Amin
Tunawaombea majeruhi wote wapone haraka.
DKT TULIA ATOA RAI KWA WAANDISHI KUHABARISHA JAMII KUHUSU MAZINGIRA.
-
Na Janeth Raphael -MichuziTv -Dodoma
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Raisi wa Umoja wa
Mabunge Duniani (IPU) Dkt Tulia Ackson amaetoa...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment