Msimbamizi wa Uchaguzi Mdogo Jimbo la Jang'ombe Zanzibar Bi. Mwanapili Khamis akitangaza Matokeo ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Jang'ombe kwa Waandishi wa Habari na Wawakilishi wa Vyama Vya Siasa vilivyoshiriki Uchaguzi huo katika Kituo cha kutangazia matokea katika Kituo cha Skuli ya Sekondari Jang'ombe Zanzibar baada ya kukamilika zoezi la kuhesabu kura. Chama Cha Mapinduzi kimeibuka mshindi kwa kupata Kura 6581.na CUF imepata kura 172, ADA TADEA kura.131, CCK- 73, NRA -62, SAU -53, AFP -58, DP - 73,TLP -71.
Ushirikiano Utatu Tanzania na China wazindua Kituo cha Mafunzo ya Ustadi wa
Kitaalamu
-
Na Mwandishi Wetu
Chuo Kikuu cha Ardhi, Taasisi ya Ufundi ya Chongqing (CQVIE) kutoka nchini
China, pamoja na Kampuni ya ujenzi ya Kichina nchini ya Group ...
1 hour ago
0 Comments