Msimbamizi wa Uchaguzi Mdogo Jimbo la Jang'ombe Zanzibar Bi. Mwanapili Khamis akitangaza Matokeo ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Jang'ombe kwa Waandishi wa Habari na Wawakilishi wa Vyama Vya Siasa vilivyoshiriki Uchaguzi huo katika Kituo cha kutangazia matokea katika Kituo cha Skuli ya Sekondari Jang'ombe Zanzibar baada ya kukamilika zoezi la kuhesabu kura. Chama Cha Mapinduzi kimeibuka mshindi kwa kupata Kura 6581.na CUF imepata kura 172, ADA TADEA kura.131, CCK- 73, NRA -62, SAU -53, AFP -58, DP - 73,TLP -71.
MZIZE ABEBA TUZO YA GOLI BORA LA MWAKA CAF 2025
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mchezaji wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans na timu ya Taifa ya
Tanzania, Clement Mzize amefanikiwa kuchukua tuzo y...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment