Msimbamizi wa Uchaguzi Mdogo Jimbo la Jang'ombe Zanzibar Bi. Mwanapili Khamis akitangaza Matokeo ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Jang'ombe kwa Waandishi wa Habari na Wawakilishi wa Vyama Vya Siasa vilivyoshiriki Uchaguzi huo katika Kituo cha kutangazia matokea katika Kituo cha Skuli ya Sekondari Jang'ombe Zanzibar baada ya kukamilika zoezi la kuhesabu kura. Chama Cha Mapinduzi kimeibuka mshindi kwa kupata Kura 6581.na CUF imepata kura 172, ADA TADEA kura.131, CCK- 73, NRA -62, SAU -53, AFP -58, DP - 73,TLP -71.
UMOJA WA VIWANDA VYA ALIZETI WAPATIWA ELIMU YA VIPIMO
-
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imewahakikishia wafanyabiashara wa
Mji wa Kibaigwa Wilayani Kongwa kuwa itaendelea kusimamia usahihi wa vipimo
vinavy...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment