Habari za Punde

WIZARA YA ELIMU MAANDALIZI NA MSINGI YAWAPATIA DAWA ZA MENO BURE WANAFUNZI WA MAANDALIZI MFENESIN

Mkurugenzi  Idara ya Elimu Maandalizi na Msingi Safia Ali Rijali  akimkabidhi dawa za meno aina ya Colget Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Maandalizi ya kiislamu Mfenesini Rehema Suleiman Kasanga katika ghafla iliyofanyika Skulini  hapo.
 Afisa  Elimu Msingi Asya Hassan Mussa  akigawa dawa za meno aina ya Colget kwa wanafunzi wa Skuli ya Maandalizi  ya kiislamu Mfenesini kwa lengo la kuimarisha usafi wa kinywa.
Wanafunzi wa Maandalizi  Skuli ya kiislamu Mfenesini wakifurahiya kupatiwa dawa za meno kwa lengo la la kuimarisha usafi wa kinywa.
Picha na Abdalla Omar Habari – Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.