Balozi wa Tanzania nchini China Mbelwa Kairuki akizungumza katika mkutano Mkuu wa Shirikisho la Jumuiya za Wanafunzi
Watanzania Wanaosoma China- TASAFIC
Balozi wa Tanzania nchini China Mbelwa Kairuki akiingia kwenye Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Jumuiya za Wanafunzi
Watanzania Wanaosoma China- TASAFIC
![]() |
Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa Tanzania, Ndg Lusekelo
Gwassa- ambaye ni Kaimu-Mwambata Elimu na Mwambata wa Uchumi Ubalozi wa
Tanzania nchini China
Akisalimia Wahudhuriaji katika Mkutano Mkuu TASAFIC
|
Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Watanzania Nchini China Victoria Mwanziva
Akiwa na Thomas Mwabobo Katibu wa Jumuiya ya Watanzania wanaosoma Fushun
Baadhi ya Viongozi wa Jumuiya ya Shenyang wakifurahia suala mkutanoni
Salma Pazi (Mwenye Miwani) na Lisa Severin
Wanafunzi Wakitanzania Wanaosoma China katika miji mbalimbali,
wakisikiliza kwa umakini uwasilishwaji wa mada mbalimbali kwenye Mkutano
Mkuu wa Watanzania wanaosoma China
Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Watanzania wanaosoma
China akiongoza Kipindi cha Maswali na Majibu ambapo Wanafunzi
Watanzania walipewa nafasi kuuliza masuala mbalimbali na kupata majibu
na maelezo ya papo kwa hapo kutoka kwa Mheshimiwa Balozi[
Picha ya Pamoja ya Viongozi wawakilishi wa Watanzania wanaosoma Majimbo Mbalimbali China nzima Waliohudhuria mkutano mkuu wa Watanzania wanaosoma China
Makamu Mwenyekiti wa Jimbo la Henan- Ibrahim Nyanza akipokea cheti cha uwakilishi kutoka kwa Mheshimiwa Balozi Kairuki
WATANZANIA wanaosoma nchini Chini
wametakiwa kuwa chachu ya maendeleo, ubunifu, kujituma na kujitolea kwa manufaa
ya Taifa la Tanzania ikiwemo kuchangamkia fursa za kimaendeleo.
Hayo yalisemwa Desemba Mosi mwaka
huu na Mgeni rasmi wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Jumuiya za Wanafunzi
Watanzania Wanaosoma China- TASAFIC, Balozi wa Tanzania nchini China Mheshimiwa
Mbelwa Kairuki ambapo aliwataka pia kutanguliza uzalendo ili kuweza kujifunza
kwa umakini.
Alisema watanzania wanaosoma nchini China
juu ya masuala Tambuka haswa ya Kielimu, Kiutaratibu, Kinidhamu, Fursa
mbalimbali na jukumu lao la kuwa chachu ya maendeleo, ubunifu, kujituma na
kujitolea kwa manufaa ya Taifa letu.
Mkutano huu uliandaliwa na
Shirikisho la Watanzania Wanaosoma China na Ubalozi wa Tanzania Nchini China Ulileta
pamoja Watanzania wanaosoma katika miji mbalimbali China kama Beijing, Dalian,
Fushun, Jilin, Jinzhou, Harbin, Henan, Nanjing, Tianjing na Wenyeji wa Mkutano
Shenyang.
No comments:
Post a Comment