KATIBU wa tume ya kurekebisha sheria ya uajiri na mahusiano kazini Kubingwa Mashaka Simba akizungumza na wadau wa taasisi mbali mbali juu ya urekebishwaji wa sheria hiyo huko katika ukumbi wa makonyo Chake Chake Pemba.
(Picha na Said Abdulrahman - Pemba)
No comments:
Post a Comment