Habari za Punde

Uzinduzi wa Kunywa na Ushinde Maji ya Zan Aqua Zanzibar.

Meneja wa mauzo wa Kampuni ya Zainab Bottlers (LTD) Mwanaomary Kipande akiwapa  maelezo waandishi wa Habari kuhusu uzinduzi wa Kampuni ya Zainab Bottlers kunywa na Ushinde katika Hotel ya Golden Tuliop iliyopo Malindi Mjini Zanzibar.
Meneja  wa Masoko Caroline Musau wa Kampuni ya Zainab Bottlers (LTD) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari kuhusu uzinduzi wa Kampuni ya Zainab Bottlers kunywa na Ushinde maji ya Zan Aqua mara walipowasili katika Hotel ya Golden Tuliop iliyopo Malindi Mjini Zanzibar.
Zawadi zilizoandaliwa na kutolewa kwa washindi watakaoshiriki katika Kunywa na Ushinde maji ya Zan Aqua iliyofanyika  Golden Tuliop Hotel iliyopo Malindi Mjini Zanzibar.
                   Picha na Miza Othman –Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.