Kamishna wa Opereshni
na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberates Sabas, akizungumza na wanakijiji cha
Rungungu baada ya kuwatembelea na kutaka kujua maendelea yao na Usalama wa
Kijiji hicho, hatua hiyo ya kuwatembelea wanakijiji hao kamishna CP Sabas huifanya mara kwa mara kwasababu ya kijiji
hicho ndicho kilikuwa makazi makuu ya wahalifu pamoja na eneo walilokuwa
wakifanyia mafunzo yao kabla ya kutimiza azima zao katika kipindi cha miaka ya
2016 na 2017.
Kamishna wa Opereshni
na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberates Sabas, akiwa katika picha ya pamoja
na askari wa kikosi maalum cha kupambana na wahalifu katika pori la Rungungu liliopo
Kijiji cha Rungungu katika Mkoa wa Kipolisi Rufiji baada ya kumaliza kufanya Operesheni
maeneo hayo.
Kamishna
wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberates Sabas, akikagua mradi
wa ujenzi wa Nyumba za Askari Polisi uliofadhiliwa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, katika eneo la Ikwiriri, Mkoa wa Kipolisi Rufiji
na kulidhishwa na maendeleo mazuri ya ujenzi huo. ( Picha na Jeshi la Polisi )
No comments:
Post a Comment