Habari za Punde

Bonaza la Tatu la Utalii Kufanyika Kisiwani Pemba


Mkurugenzi Masoko wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dkt. Miraji Ukuti Ussi, akimkabidhi jezi Meneja wa Timu ya Machomanne United, kwa ajili ya mashindano ya Bonanza la Tatu la Utalii Kisiwani Pemba, litakaloshirikisha michezo mbali mbali Kisiwani Pemba
Mkurugenzi Masoko Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dkt. Miraji Ukuti Ussi, akizungumza na waandishi wa habari kuelekea bonanza la Tatu la Utalii Kisiwani Pemba, litakaloweza kushirikisha michezo Mbali mbali.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.